Safi sana fundi wangu nimekuelewa vizuri katika somo hili.ila na Mimi nna swali kuna bosi wangu kafungiwa soral lakini ile solar imekua ina tabia ya kukata moto usiku hapo shida itakuwa nn
Aaah ahsante sana mkuu… Mm ninatumia pannel watt 50, nmeunganisha direct yaan, , pannel_bettert_matumizi, , je nakoseaa, , au charge control ni muhim sana au lazima kuitumiaa?
Unaweza kutoa power yko kwenye battery?
Sasa mwalim mbona sijaskia kuhusu inveta kutumika apo?au inveta hakuna ulazima?
Safi sana fundi wangu nimekuelewa vizuri katika somo hili.ila na Mimi nna swali kuna bosi wangu kafungiwa soral lakini ile solar imekua ina tabia ya kukata moto usiku hapo shida itakuwa nn
Mwalimu mtema jinsi yakufunga imvata sijafahamu
Kaka nakufwatilia vzr Sana
Vp utaunga na taa na wakati kuma umeme
Em mm kodogo natakaniulize kama una panel kam 30 sasa zote unazi conect pamoja au u
Tuko ndani jamaa, kutoka kenya
Hello Techer Naomba kujua kwanini wakati mwingine soler inazima kila mara igikapo usiku
Pannel 15 betri 1
Nimeelewa somo
Pannel 15 supply zitakua 3 n charge control 3. Swali je betri 3 kila sply n chage yke
Au berti 1 unaloop
Kwan inawezekana kutumia Umeme wa solah bila eniveta?
Je kama nina solar mbili au zaidi naweza zifunga kwa pamoja na zikafanya kazi vizuri? Au watt znatakiwa kuwa sawa ndipo niziunge?
Pamoja sanamwalim nimekupata
Vp kuhusu backup ambayo unatumi umeme kurchag battery
Oky
Hello
Inawezekana kuunganisha pannel mbili zenye watts tofauti mwalimu?!
Nina panel wats100 anitumie nyaya zenye uuwezo gani kufunga umeme pia nitumie charger control ya aina gani pia niwe na betri N ngapi?
Wat200 insyaji betri saisingani
Kazi iendeleee
Namba za simu na anwani ya site ni muhimu sana.
Darasa zuri sana
Somesha jinsi ya kufunga solar back up kwenye nyumba iliyo na umeme tafadhali
Aaah ahsante sana mkuu… Mm ninatumia pannel watt 50, nmeunganisha direct yaan, , pannel_bettert_matumizi, , je nakoseaa, , au charge control ni muhim sana au lazima kuitumiaa?
Nimekuelewa vizuri sana asante mwalimu
kwa mfano una panneli whatt 300 utatumia charge controller yenye ukubwa gani
kam pannel yako whatt300 utatumia charge controller yenye volt ngapi?
nawapata vizur sanaa kutoka Arusha
Somo halijakaa poa mkuu
Kwahio ticher hiyo charge of kotro kwahio inabadili umeme wa sola kua ac au inatumika to kucharge better…!!!?